Tumejengwa ili kila biashara ipate malipo kwa ku tap.
TapTap ni mfumo wa malipo uliotengenezwa Tanzania, kugeuza kadi, bendi au stika kuwa kituo cha malipo kwa biashara yoyote, bila mashine wala programu kwa wateja.
Kurahisisha malipo kwa kila mfanyabiashara wa Kitanzania.
Kuanzia genge la mboga Kariakoo hadi dereva bodaboda na saluni, tunaamini kupokea malipo kunapaswa kuwa rahisi kama mguso mmoja. Hakuna POS ghali, hakuna foleni za chenji, hakuna programu kwa mteja. Gusa tu, lipa, nenda.
Kile tunachosimamia
Urahisi kwanza
Bila programu kwa wateja. Mteja ana tap, ukurasa wa malipo unafunguka, wanalipa. Ndio yote.
Imani na uwazi
Ada nafuu na wazi. Wateja hawaongezewi gharama. Unajua hasa unachopata.
Zawadi halisi
Kila mauzo yanakupa pointi na zawadi, salio, bonasi za pesa na zaidi.
Tunaijua Tanzania
Imejengwa kwa M-Pesa, Mixx, Airtel Money na HaloPesa, mitandao ambayo wateja wako tayari wanatumia.
Iliotengenezwa na timu ya Kitanzania
Kabi Investment
Mmiliki mwenzaMachrina Co.
Mmiliki mwenzaTimu ya TapTap
Bidhaa na uhandisiTayari kupokea malipo kwa ku tap?
Jiunge na wafanyabiashara wanaokua na TapTap kila siku.